Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Vihiga wataka huduma za tiba ya sumu ya nyoka kusogezwa karibu

  • | Citizen TV
    10,030 views
    Duration: 2:58
    Wakazi wa kaunti ya Vihiga wametoa wito kwa wizara ya afya kuleta huduma za matibabu ya sumu ya nyoka karibu nao. aidha wakazi hao wanalalamikia ukosefu wa dawa zinazotumika kutibu majeraha ya waliong'atwa na nyoka. wakazi wanalazimika kugharamika ili kufika hospitalini, huku visa 93 vya waliong'atwa na nyoka vikiripotiwa katika siku za karibuni.