Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Madogo kaunti ya Tana River wahofia athari za mvua ya El Nino

  • | Citizen TV
    600 views
    Duration: 2:13
    Wakazi pamoja na wafanyibiashara wa Madogo kaunti ya Tana River waelezea kutoridhishwa kwao na jinsi serikali ya kaunti hiyo ilivyojiandaa kukabiliana na madhara ya mvua ya el nino iliyotabiriwa kunyesha kuanzia mwezi Oktoba.