- 1,558 viewsDuration: 2:04Takwimu kutoka idara ya Elimu maeneo ya Nyamache Bobasi kaunti ya Kisii zinaoneha kuwa idadi kubwa ya wasichana wa kati ya umri wa miaka 10-16 wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za ukosefu wa sodo baadhi wakilazimika ata kuacha shule