- 415 viewsDuration: 1:40Wanaharakati watatu kutoka Kaunti ya Tharaka Nithi John Githome, Frank Kabete na Johnson Gikunda, wameanza safari ya kutembea kuelekea Nairobi wakilenga kuhamasisha uwezeshaji wa mtoto wa kiume, suala ambalo wanasema limepuuzwa katika jamii.