Skip to main content
Skip to main content

Wanariadha nyota kuwania Sydney Marathon Jumapili

  • | Citizen TV
    880 views
    Duration: 1:10
    Mbio za Sydney Marathon za Jumapili nchini Australia zitawakutanisha wanariadha wanawake wenye uzoefu, wakiwemo bingwa wa dunia Peres Chepchirchir, Irene Cheptai, Stella Chesang wa Uganda na bingwa wa zamani wa dunia wa mita 5,000, Vivian Cheruiyot.