28 Aug 2026 1:21 pm | Citizen TV 401 views Duration: 1:50 Wahudumu wa afya ya uzazi katika Kaunti ya Kwale wamezidisha kampeni ya kuwashirikisha wanaume katika masuala ya afya ya uzazi, kwa lengo la kupunguza vifo vya kina mama wakati wa ujauzito na kujifungua.