Skip to main content
Skip to main content

Wapemba wanufaika na uraia baada ya miaka ya kutotambuliwa

  • | Citizen TV
    7,897 views
    Duration: 3:33
    Baada ya miaka mingi ya kutotambuliwa nchini, jamii ya Wapemba wanaoishi katika kaunti za Kilifi, Kwale na Mombasa walipata uraia miaka mitatu iliyopita. Hatua hiyo imebadilisha maisha yao kwa kiasi kikubwa, huku sasa wakiweza kufanya biashara, kusoma na kumiliki mali.