Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wanne wa mauaji ya Dkt. Victoria Mutiso kubaki rumande hadi septemba 23

  • | Citizen TV
    1,717 views
    Duration: 46s
    Washukiwa wanne wa mauaji ya daktari Victoria Mutiso, Rose Mbithe, wanawe Chris Mulwa, Angela Mulwa na afisa wa polisi Elijah Kibelion Kimoi watasalia rumande hadi septemba 23 wanapotarajiwa kujibu shtaka la mauaji .