Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wanne wa mauaji ya Dkt. Victoria Mutiso kusalia rumande hadi Septemba 23

  • | Citizen TV
    828 views
    Duration: 1:14
    Washukiwa wanne wa mauaji ya Dkt. Victoria Mutiso — Rose Mbithe, wanawe Chris Mulwa na Angela Mulwa, pamoja na afisa wa polisi Elijah Kibelion Kimoi — watasalia rumande hadi Septemba 23, wanapotazamiwa kujibu shtaka la mauaji.