Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa watatu wazuiliwa baada ya mtoto wa wiki mbili kutoweka Kibera

  • | Citizen TV
    10,687 views
    Duration: 2:35
    Washukiwa watatu wanazuiliwa na polisi kuhusiana na wizi wa mtoto wa wiki mbili anayedaiwa kuachwa kwenye kituo kimoja cha matibabu mtaani Kibera. Matukio hayo yalinaswa kwenye kamera za CCTV, huku mshukiwa mmoja akidaiwa kuwapotosha wapelelezi ambao bado wanamtafuta mtoto huyo aliyetoweka wiki mbili zilizopita