Skip to main content
Skip to main content

Watetezi wa haki waonya kuhusu kubanwa kwa haki za kikatiba

  • | Citizen TV
    604 views
    Duration: 2:15
    Watetezi wa haki za kibinadamu walikongamana katika bustani ya jeevanjee hapa jijini Nairobi kwa maadhimisho ya miaka 16 ya katiba. wanaharakati hao walielezea wasiwasi wao kuhusu kubanwa kwa haki za kukongamana, kuandamana na kujieleza , taifa linapoelekea uchaguzini. Aidha wamelalamikia ukandamizaji wa watetezi wa haki, visa vya utekaji nyara na mauaji ya kiholela, kando na dhulma zingine wanazosema zinatia doa azma ya katiba mpya.