27 Aug 2026 10:29 am | Citizen TV 1,759 views Duration: 2:18 Hali ya wasiwasi yatanda katika eneo la Shab, mpakani mwa kaunti za Isiolo na Meru, baada ya watu wawili kuuawa katika shambulizi lidaiwalo kufanywa na majambazi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani ya Meru.