Skip to main content
Skip to main content

Waturkana Laikipia walalamikia ubaguzi katika ajira na uteuzi serikalini

  • | Citizen TV
    376 views
    Duration: 3:03
    Jamii ya wafugaji ya Waturkana katika kaunti ya Laikipia, imelalamikia vikali kubaguliwa katika maswala ya ajira na uteuzi serikalini. Viongozi wa jamii hiyo wanashinikiza kutambuliwa kwa jamii hiyo, na ujenzi wa mabwawa kwenye maeneo yao ili kuwaondolea dhiki ya ukosefu wa maji. Aidha wanataka miradi ya maendeleo na uchumi wa eneo hilo kuimarishwa. Bonface Barasa anaarifu zaidi kutoka Mji wa Rumuruti,kaunti ya Laikipia.