- 156 views
Na Katika kaunti ya Kisii, ufunguzi wa konteina ya mitihani ulifanyika mapema mwendo wa saa moja alfajiri huku washikadau katika wizara ya afya wakisema kila kitu ki shwari tayari kwa shughuli hiyo ya kitaifa. aidha baadhi ya mikakati iliyowekwa kuzuia udanganyifu ni pamoja na kuzimwa kwa kamera za CCTV shuleni ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafanya mtihani kwenye manthari ambayo ni shwari.
Wasimamizi wa mitihani waonywa dhidi ya udanganyifu
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary