- 1,061 views
Huku Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) ukianza rasmi kote nchini, wanafunzi 52 kutoka Shule ya Merishaw iliyoko Isinya, Kaunti ya Kajiado, wanaufanya mtihani huo kwa mara ya kwanza.
Wanafunzi na walimu wameonyesha imani kubwa, wakilenga kuweka viwango vya juu kwa watahiniwa wa baadaye katika shule hiyo.
Wanafunzi hawa ni miongoni mwa watahiniwa 14,058 wanaofanya mtihani wa KCSE katika vituo 166 kwenye Kaunti ya Kajiado. Idara ya Elimu ya Kaunti hiyo imeripoti kuwa mtihani umeanza vizuri bila changamoto yoyote kwenye vituo vyote.
Mtihani wa KCSE Waanza, Shule ya Merishaw yafanya kwa mara ya Kwanza
- - KTN Prime Highlights ››
- 16 Jul 2025 - The family of James Nayo, a 37-year-old fisherman fatally shot during the Saba Saba demonstrations in Naivasha, is demanding justice following a postmortem that revealed he was shot from behind.
- » Africa’s environment ministers convene in Nairobi amid push for bold climate, forest, plastics action16 Jul 2025 - The 20th Ordinary Session of the African Ministerial Conference on the Environment (AMCEN-20) officially opened in Nairobi on Wednesday, July 16, 2025.
- 16 Jul 2025 - The rift between the Kenya National Police Service Commission (NPSC) and the command of the Kenya Police continues to widen, with the commission now claiming that the police are preventing it from executing its constitutionally mandated functions.
- 16 Jul 2025 - A Kisumu court has on Wednesday, July 16, sentenced a mentally ill woman to serve a three-year non-custodial term with mandatory psychiatric treatment after she was found guilty of killing her six-month-old son.
- 16 Jul 2025 - Rex was shot during the anti-finance bill protests in 2024.
- 16 Jul 2025 - The Ministry of Health has now called on Kenyans to remain calm, following the reported cases of deaths due to an unidentified illness in Mombasa.
- 16 Jul 2025 - Wednesday's revelations opened yet another warfront between the service and its parent commission, months after the two entities settled a dispute over who holds the mandate for police promotions.
- 16 Jul 2025 - President William Ruto has asked leaders to stop inciting young people to violence and chaos and instead be part of the solution to the challenge of youth unemployment.
- 16 Jul 2025 - The plan was brought to Kenyans' attention by Ndindi Nyoro.
- 16 Jul 2025 - The Malaba Law Court has sentenced to 30 years imprisonment a school watchman it found guilty of defiling a 12-year-old school girl in Teso North, Busia County.