Skip to main content
Skip to main content

Wauguzi kaunti ya Nyamira wametoa ilani ya siku 14

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 1:58
    Chama cha wauguzi katika kaunti ya Nyamira kimetoa ilani ya mgomo baada ya siku 14, wakiishtumu serikali ya kaunti ya Nyamira kwa kutowalipa baadhi yao mishahara ya zaidi ya miezi kumi, upendeleo katika kupandishwa vyeo, na mazingira duni ya kufanyia kazi.