Watu 127, wengi wao raia wauwawa Sudan, Jumatatu na Jumanne
Siku ya Jumanne (Desemba 10), Vikosi vya Rapid Support Forces - RSF, vilishambulia kwa mizinga mizito katika eneo linalodhibitiwa na jeshi huko Omdurman, sehemu ya jimbo la Khartoum, kulingana na wakazi.
Mawakili wa dharura walisema siyo chini ya watu 20 waliuwawa, wakiwemo angalau watu 14 ambao walikuwa ndani ya basi ambao lilipigwa.
Serikali ya jimbo hilo, inayodhibitiwa na jeshi, ilisema watu 65 walikuwa wameuwawa, na majeruhi wengine kadhaa walihamishiwa katika hospitali ya karibu ya Al-Naw.
Miili iliyohifadhiwa katika mifuko iliwasili hospitali wakati waliojeruhiwa walikaguliwa na gavana wa Khartoum Ahmed Osman Hamza.
Wanaharakati wa kutetea haki walisema takriban watu 127, wengi wao raia, wameuwawa nchini Sudan Jumatatu na Jumanne kutokana na mapipa ya mabomu na mashambulizi ya makombora kutoka pande zote zinazopigana.
Miezi 20 ya vita kati ya jeshi na wanajeshi wa Rapid Support Forces RSF vinageuka na kuongezeka kwa umwagaji damu wakati juhudi za kusitisha vita zimekwama, na migogoro kwingineko imetawala mtizamo wa dunia. - Reuters
#sudan #omdurman #vita #raia #rsf #wapiganaji #jeshi #khartoum #jimbo #vifo #voa #voaswahili
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
17 Jun 2025
- One person was shot by police at point-blank range, amid allegations police turned a blind eye to armed goons who attacked protesters.
18 Jun 2025
- KNCHR has recorded 22 casualties during the Tuesday demonstrations calling for the resignation of Deputy Police Inspector General Eliud Lagat over his alleged involvement in teacher Albert Ojwang's murder.
18 Jun 2025
- Today’s protests took a sinister turn as police officers and hired thugs joined forces in plain sight. In a scene both brazen and unsettling, hired goons arrived on motorbikes, others armed with clubs and whips terrorizing innocent passers-by all under…
17 Jun 2025
- What had been intended as protests to demand accountability over the murder of teacher Albert Ojwang in police custody last week turned into an all-out clash pitting three groups: the police, protesters and hired goons.
17 Jun 2025
- The police officer who shot an unarmed mask vendor during the demonstrations held in Nairobi on June 17, 2025, has been arrested.
17 Jun 2025
- At around 10 p.m. on a cold night, a sudden sharp pain on the right side of her stomach sent 22-year-old Vestina Samson to the ground. Writhing in pain, Vestina’s family was unsure how to help her.
17 Jun 2025
- Three officers, among them the Officer Commanding Station at Mawego Police Station, where the late Albert Ojwang’ was briefly held before his controversial transfer to Nairobi, have now recorded statements as investigations gather pace.
17 Jun 2025
- LeBron James may be daydreaming about Prime Day deals in his new Amazon commercial, but there’s no fantasy when it comes to his real-life focus: getting his knee healthy in time for training camp. The Los Angeles Lakers superstar plans to return for…
17 Jun 2025
- The streets of Nairobi on Tuesday were nothing short of lawless as police officers worked with goons to fight off protesters.
17 Jun 2025
- Injuries range from gunshot wounds, head cuts, whip lashes and blunt trauma
17 Jun 2025
- Gachagua decried the excessive use of force by police during protests