- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- - Lewa Marathon 2025 ››
- - FKF Nairobi awards ››
- 28 Jun 2025 - Police in Dagoretti South have arrested one person and recovered an AK-47 rifle allegedly stolen during Wednesday’s Gen Z protests.
- 28 Jun 2025 - President William Ruto is currently meeting top security and national administration officers from across the country at State House Nairobi, three days after the nationwide Gen-Z protests.
- 28 Jun 2025 - Tension remains high in Ol Rongai, Rongai Sub-county, Nakuru County, after more than 163,000 residents from 16 villages, including Ol Rongai, Marigo, and Rigogo, strongly rejected a plan by the Geothermal Development Company (GDC) to displace them for…
- 28 Jun 2025 - The Ministry of Health is warning employers over unpaid health insurance deductions, with over 44,000 firms said to owe billions to the Social Health Insurance Fund (SHA).
- 28 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched a scathing attack on Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen over his controversial remarks urging police to shoot anyone who approaches a police station during protests.
- 28 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed allegations linking him to the funding and coordination of goons who infiltrated the June 25th Gen Z-led protests, instead shifting blame to the Ministry of Interior and accusing the state of…
- 28 Jun 2025 - Teachers have called on TSC to revisit the decision.
- 28 Jun 2025 - Mumias East MP Peter Salasya has sent a strong message to his constituents and the country as he announces his intention to run for president in the 2027 general election. In a statement shared on his X account on Saturday, June 28, Salasya asked for…
- 28 Jun 2025 - Twenty-four suspects linked to the destruction of public property during the June 25 protests in Kikuyu, Kiambu County, have been detained for 14 days as investigations continue.
- 28 Jun 2025 - A titanic showdown awaits as FKF PL side Posta Rangers faces off against Naivas FC this Saturday, June 28, 2025, in the first leg of the promotion playoff at the Thika Stadium. The clash, slated for 3:00 pm, comes after the conclusion of both the…