- 5,623 views
Wandani wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sasa wamo serikalini. Katika mageuzi ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa jioni hii ni kwamba mutahi kagwe ameteuliwa katika wizara ya kilimo huku aliyekuwa gavana wa kiambu william kabogo akiteuliwa kuwakilisha wizara ya teknolojia na mawasiliano. lee kinyanjui ameteuliwa katika wizara ya biashara, uwekezaji na viwanda.wengine walioteuliwa ni pamoja na margaret nyambura ambaye ameteuliwa kuwa balozi wa ghana, aliyekuwa waziri wa michezo wakati wa uhuru ababu namwamba ameteuliwa kama mwakilishi wa kenya- unep, balozi dorothy angote ameteuliwa kuwa balozi wa zimbabwe huku dkt. andrew karanja akiteuliwa kama balozi wa brazil. salim mvurya ameteuliwa katika wizara ya michezo na vijana huku kipchumba murkomen aking'olewa kwenye wizara ya michezo na kuteuliwa katika wizara ya usalama wa ndani. ndiritu muriithi ameteuliwa kama mwenyekiti, bodi ya kra, anthony mwaura mwenyekiti, bodi ya kerra na kembi gitura - mwenyekiti, bodi ya hospitali ya k.u. mabadiliko haya yanajiri siku chache baada ya rais william ruto kukutana na rais mstaafu uhuru kenyatta.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wandani wa Rais Uhuru waingia serikalini katika mageuzi ya baraza la mawaziri
- 20 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the temporary orders following a case filed by Dr. Magare Gikenyi, together with Eliud Karanja Matindi, Philemon Abuga Nyakundi, and Dishon Keroti Mogire.
- 20 Aug 2025 - The pledge took place in a bilateral meeting chaired by Health Cabinet Secretary Aden Duale and his Japanese counterpart Hon. Minoru Kiuchi who serves as the Minister of State for Health Care Policy on the sidelines of TICAD 9 (Tokyo International…
- 20 Aug 2025 - Technocrat-turned-politician Mukhisa Kituyi believes that President William Ruto lacks the moral authority to lecture legislators over corruption, claiming he is the top perpetrator.
- 20 Aug 2025 - The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has warned Kenyans against the use of off-label semaglutide compounds, also known as Ozempic, for weight loss, saying the drug is strictly a Prescription-Only Medicine whose misuse could lead to serious health…
- 20 Aug 2025 - The event brought together representatives from Shabiki.com, tournament organizers, and members of the golfing community to formalize the partnership ahead of one of Kenya’s most anticipated golfing events.
- 20 Aug 2025 - Eleven people died in the touristic northern region of Gilgit-Baltistan and 10 others in Karachi, the financial capital in the south, due to urban flooding that caused house collapses and electrocution, the National Disaster Management Authority (NDMA)…
- 20 Aug 2025 - Felister Wairimu tells inquest she found it a bit odd for the call to have come at that time
- 20 Aug 2025 - Ruto said Kenya looks forward to hosting the world for the summit.
- 20 Aug 2025 - In an interview at a small café in Pangani, 28 year-old Ruth Achieng sat while her phone buzzed nonstop
- 20 Aug 2025 - For many families, the day marked the first time in months that they could safely reach the stores without fear