Vyama vya walimu vyapinga pendekezo la ugatuzi wa elimu

  • | KBC Video
    20 views

    UGATUZI WA ELIMU

    Vyama vya walimu, KUPPET na KNUT vimepinga vikali pendekezo la kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga la kugatua majukumu ya usimamizi wa shule za msingi na upili ili zisimamiwe na serikali za kaunti. Wakiongea katika kaunti ya Homa Bay, viongozi wa vyama hivyo walisema hatua hiyo italemaza sekta ya elimu humu nchini.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive