Skip to main content
Skip to main content

Harambee Starlets waandaa mazoezi ya mwisho Nyayo kabla ya mechi ya kufuzu Kombe la Afrika

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 56s
    Timu ya taifa ya wasichana ya Harambee Starlets iliandaa mazoezi ya mwisho hii leo katika uwanja wa kitaifa wa Nyayo, tayari kwa mechi ya kusaka tiketi ya kufuzu kombe la Afrika hapo kesho dhidi ya the Gambia