- 646 views
Hali ya elimu nchini inaonekana kuchukua mweleko mpya miaka 39 baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa 8-4-4. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mtihani w akitaifa wa kidato cha nne, KCSE, wasichana zaidi walifanya mtihani huo mwaka uliopita wakilinganishwa na wavulana. Wakati huo huo watahiniwa wa kiume walidumisha matokeo bora huku 127,853 wakifuzu kujiunga na vyuo vikuu kwa kupata alama ya C+ na zaidi ikilinganishwa na watahiniwa 118,537 wa kike. Mwanahabari wetu John Jacob Kioria anatuarifu zaidi kuhusu mienendo inayobadilika katika ulingo wa elimu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
KCSE 2024 I Idadi ya watahiniwa wa kike yazidi wale wa kiume
- 17 Aug 2025 - ODM leader Raila Odinga has sharply criticised individuals who spread malicious rumours and wished death upon Siaya Governor James Orengo when he was out of the country for more than one month.
- 17 Aug 2025 - European leaders will join Ukrainian President Volodymyr Zelensky during his visit to Washington on Monday seeking an end to Moscow's invasion, after President Donald Trump dropped his push for a ceasefire following an Alaska summit with Russian leader…
- 17 Aug 2025 - Uganda has inaugurated its first large-scale gold mine, a $250 million Chinese-owned project in the country's east that will also refine the bullion to 99.9% purity, according to a statement from the president's office.
- 17 Aug 2025 - Whether in a sports jersey or a suit, Kenyan President William Ruto is casting himself as a model supporter of the national football team as an international tournament provides respite from recent bloody protests against his regime.
- 17 Aug 2025 - Fans eager to see how the Harambee Stars measure up against Zambia
- 17 Aug 2025 - Content creator Maureen Waititu has raised an alarm over a new phone scam targeting mobile users through calls
- 17 Aug 2025 - Fans thronged the stadium to support Harambee Stars as they battle it out with Zambia.
- 17 Aug 2025 - The viewing zones, equipped with large screens, offered fans a lively atmosphere to enjoy the match
- 17 Aug 2025 - Veteran Tanzanian musician Ali Kiba has once again proven his timeless sense of style after stepping out in
- 17 Aug 2025 - 'Leave education matters to experts.'