Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Wiper wadai Rais William Ruto apuuza Ukambani

  • | Citizen TV
    8,704 views
    Duration: 2:01
    Wanasiasa wa chama cha Wiper wamemsuta Rais William Ruto kwa kile wanachodai ni kudhalilisha jamii ya wakamba. Wanasiasa hao wanasema wamechoka na madharau yanayotoka serikalini.