Skip to main content
Skip to main content

Polisi waendeleza msako dhidi ya wauzaji pombe haramu katika kaunti ya Bungoma

  • | Citizen TV
    479 views
    Duration: 2:01
    Onyo kali limetolewa kwa watengezaji pombe haramu kutoka chesikaki eneo bunge la Mlima Elgon kaunti ya Bungoma kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao iwapo watapatikana.