Skip to main content
Skip to main content

Kamishna wa kaunti ya Nyamira Erastus Mbui amewashauri wagombea na wafuasi kuzingatia amani Nyamira

  • | Citizen TV
    169 views
    Duration: 1:45
    Kamishna wa kaunti ya Nyamira Erastus Mbui amewashauri wawaniaji wa viti vya wawakilishi wadi katika wadi za Ekerenyo, Nyamaiya na Nyansiongo katika kaunti hiyo, kishiriki kampeni za amani msimu huu wa chaguzi ndogo ambazo zitaandaliwa tarehe 27 mwezi Novemba.