Skip to main content
Skip to main content

Walemavu wafurahia kuhusishwa na miradi ya maendeleo kaunti ya Migori

  • | Citizen TV
    192 views
    Duration: 2:23
    Zaidi ya watu 100 wenye ulemavu katika Kaunti ya Migori wamepokea usaidizi wa kuimarisha biashara zao na kuboresha maisha yao kupitia usaidizi kutoka kwa shirika la Light for the World.