Maria Sarungi asimulia jinsi alivyotekwa Kenya
Mwanaharakati wa Tanzania Maria Sarungi amehusisha tukio la kutekwa kwake nchini Kenya na ukosoaji wake wa serikali ya Tanzania.
-
Akizungumza na BBC siku moja baada ya kuachiwa, alisema watekaji hao walimuuliza ikiwa anahofia kuvushwa upande wa pili wa mpaka. Maria ni mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, na ameishutumu serikali yake kwa kurudisha "udhalimu" nchini humo.
-
Amezungumza na mwandishi wa BBC Peter Mwangangi, na alianza kwa kueleza kuhusu utekaji huo uliotokea jana Jumapili.
-
Serikali ya Tanzania haijazungumzia kisa hiki hadi kufikia sasa
-
-
#bbcswahili #tanzania #siasa #uongozi #kenya #mwanaharakati
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
9 May 2025
- The governor's relationship with Raila is rumoured to be hot and cold with cracks emerging in their association.
9 May 2025
- This comes after President Ruto nominated Erastus Ethekon as IEBC Chairperson.
9 May 2025
- The former DP is challenging his ouster from office in October 2024.
10 May 2025
- The inauguration mass of Pope Leo XIV will take place on Sunday, May 18, in St Peter's Square, the Vatican announced.
10 May 2025
- Germany's Lufthansa airline group said on Friday it would extend its suspension of flights to and from Tel Aviv installed after a rocket attack struck the area of Israel's main airport.
10 May 2025
- Pope Leo XIV celebrated his first Mass on Friday in the Sistine Chapel, where he was elected less than 24 hours earlier, warning of the dangers caused by a lack of faith and hoping the Catholic Church could be a beacon lighting the world's "dark nights".
10 May 2025
- Opposition, civil society groups raise questions about some of the nominees' links to Ruto and Raila.
10 May 2025
- A special team is ready to grill the official as pressure mounts.
10 May 2025
- Orengo, a veteran lawyer and former senator, has maintained a defiant tone, accusing some of his critics of being sycophants to the Ruto administration.
10 May 2025
- ODM chief demands justice, says he knows the masterminds
10 May 2025
- It has set capital expenditure in the country at between Sh18bn and Sh21bn for 2026 financial year.
10 May 2025
- Audit reports have flagged the problem across the county health facilities
10 May 2025
- We called him Bob: Kenyans recall time with a down to earth person, wise Pope Leo XIV