Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi kupewa uwezo wa kukagua miradi ya maendeleo Busia

  • | Citizen TV
    288 views
    Duration: 2:16
    Serikali ya kitaifa kupitia kwa wizara ya fedha na mipangilio ya kiuchumi inalenga kutoa mafunzo kwa maafisa wa serikali wakiwemo wa utawala kuhusu jinsi ya kurekodi hatua za maendeleo katika maeneo mbali mbali nchini.