Skip to main content
Skip to main content

Vijana wa Tharaka Nithi wakubali kujisajili katika Nyota

  • | Citizen TV
    391 views
    Duration: 1:48
    Maelfu ya vijana katika kaunti ya Tharaka Nithi waliitikia mwito wa serikali ya kujisajili katika mpango unaodhaminiwa na serikali wa Nyota, unaolenga kuwanufaisha kibiashara. Kwa mujibu wa katibu wa uchumi samawati Betsy Njagi, ambaye alikuwa katika eneo la Chuka kwa shuguli ya ukaguzi wa waliojisajili, takriban vijana elfu 9 wamejisajili. Kadhalika, Betsy amesema serikali haitarudi nyuma katika mpango wa kuwapa vijana usaidizi ili kujikimu