Skip to main content
Skip to main content

Visa vya ajali za boda boda vyaongezeka mjini Nakuru

  • | Citizen TV
    465 views
    Duration: 2:08
    Ukosefu wa mafunzo thabiti umetajwa kama chanzo cha kuongezeka kwa ajali za barabarani zinazohusisha waendeshaji pikipiki nchini. Takwimu kutoka kwa mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani zinaonyesha kuwa nchi kufikia sasa imepoteza zaidi ya watu elfu tatu huku zaidi ya 900 wakiwa wahudumu wa boda boda.