Skip to main content
Skip to main content

Vijana kupewa fedha za serikali kuanzisha biashara kaunti ya Samburu

  • | Citizen TV
    1,513 views
    Duration: 3:08
    Mamia ya vijana wamejitokeza katika uga wa chuo anuai mjini Maralal kwenye kaunti ya Samburu,kushiriki zoezi la usaili wa utoaji mikopo ya mtaji kwa vijana wajasiriamali.