Skip to main content
Skip to main content

Madaktari wa KNH wamfanyia Ian Baraka upasuaji wa uso na kumrejeshea hadhi

  • | Citizen TV
    7,461 views
    Duration: 3:01
    Madaktari katika hospitali ya rufaa ya Kenyatta wamefanikiwa kumrejeshea hadhi na umbo la uso wake mtoto mwenye umri wa miaka saba. Ian Baraka, alipata majeraha yaliyomharibu kabisa uso baada ya kufyatuliwa risasi na wezi wa mifugo nyumbani kwao kwenye mpaka wa meru na Isiolo.