Skip to main content
Skip to main content

Wajumbe wa chama cha ODM wa Nyanza wakutana

  • | Citizen TV
    8,776 views
    Duration: 2:35
    Wajumbe wote wa chama cha ODM kutoka eneo la Nyanza wamefanya mkutano maalum ulioongozwa na kaimu kiongozi wa chama hicho Seneta Oburu Oginga. Wajumbe hao waliafikiana kwa kauli moja kumuidhinisha rasmi Oginga kuwa kinara wa Chungwa. Wajumbe pia wamekata kauli ya kuendelea kufanya kazi na serikali.