- 113 views
Familia ya Joseph Nga'nga Muhia iliandamana barabarani ikitaka kujua aliko mpendwa wao ambaye alitoweka wakati wa mkasa wa moto katika duka la Modern Furniture huko Ruiru. familia hiyo pamoja na marafiki, waliandamana hadi makao makuu ya idara ya upelelezi wa jinai –DCI, wakitaka haki itendeke .Wanadai Joseph Ng’ang’a kwa jina lingine Josse, alifariki wakati wa mkasa huo wa moto na mwili wake kutupwa kwa kisingizio kwamba ulikuwa mzoga wa mnyama. Hata hivyo, mkurugenzi mkuu wa duka hilo Gibson Morage, alikanusha madai hayo akisema hata wao wamekuwa wakimtafuta Joseph. Alisema maafisa kutoka idara ya upelelezi walizuru eneo hilo na kudhibitisha kwamba ni mzoga uliopatikana katika eneo la mkasa na wala sio mwili wa binadamu. .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Familia ya Joseph Ng’ang’a yataka kujua aliko baada ya kutoweka
- 3 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki says the nation’s security and stability will be guarded by all means possible for faster development and prosperity.
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) has summoned blogger Ndiang'ui Kinyagia to present himself at the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Headquarters to record a statement, following his unexpected reappearance from what was widely reported as a…
- 3 Jul 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has filed a suit seeking to recover prime public land in Eldoret’s Central Business District, estimated to be worth Ksh.200 million.
- 3 Jul 2025 - Coffee farmers from 76 factories in Kirinyaga County held protests in Kerugoya town after the High Court extended a conservatory order halting the implementation of new coffee exchange fees.
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Athletics Kenya (AK) has announced that the men’s 10,000m and women’s 5,000m teams for the upcoming World Athletics Championships in Tokyo will be selected during the Prefontaine Classic Diamond League, set for July 5, 2025, at Hayward Field, University…
- 3 Jul 2025 - Ndiangui resurfaced today morning after 13 days.
- 3 Jul 2025 - Chaos erupted during the funeral procession for slain teacher and blogger Albert Ojwang on Thursday afternoon in Homa Bay County, after a group of irate youths intercepted the convoy transporting his body to his rural home in Kokwanyo Village ahead of…
- 3 Jul 2025 - Bill seeks to address the current lacuna in the National Police Service Act, which does not stipulate an age requirement.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.