SADC na EAC kukutana kuhusu vita vya Goma, DRC
Jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitaandaa mkutano wa pamoja Ijumaa na Jumamosi wiki hii kuzungumzia mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Mkutano huo utafanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania, taifa ambalo ni mwanachama wa jumuiya zote mbili - SADC na EAC. Hatua hii inafuatia makubaliano kati ya mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe, pamoja na mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya. Taarifa kutoka Ikulu ya Nairobi inasema kwamba Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamethibitisha kushiriki mkutano huo, pamoja na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.
16 Jul 2025
- Rex was shot during the anti-finance bill protests in 2024.
16 Jul 2025
- The plan was brought to Kenyans' attention by Ndindi Nyoro.
16 Jul 2025
- The MCK official was elected on July 16, 2025.
17 Jul 2025
- The Israeli army launched a new round of strikes near the Syrian army and defence ministry headquarters on Wednesday, state-run television said, after Israel warned Damascus against targeting the Druze community.
17 Jul 2025
- U.S. President Donald Trump's tariffs on South Africa could cause around 100,000 job losses, with the agriculture and automotive sectors hardest-hit, central bank governor Lesetja Kganyago said on Wednesday.
17 Jul 2025
- Ethiopia has arrested dozens of suspected Islamic State militants, who it claimed have been trained and deployed to carry out operations across the country, the state-affiliated Fana broadcaster reported.
17 Jul 2025
- The government is set to review the six-to-six curfew imposed in Kainuk, Turkana, over the last three years to curb the runaway insecurity.
17 Jul 2025
- IPOA on Wednesday presented evidence that placed the main suspect in the killing of Rex Masai, police officer Isaiah Murangiri, near the scene of the crime.
17 Jul 2025
- Isiolo Governor Abdi Guyo has issued a strong statement condemning the politicisation of recent tragic incidents in the
17 Jul 2025
- Will Bonface Ambani restore the lost glory in the den?
17 Jul 2025
- Raila has been a voice for the voicelessnothing has changed
17 Jul 2025
- Graft, accidents and recruitment top new KAM boss's in-tray
17 Jul 2025
- Legal practitioners urged to put their health status first