Skip to main content
Skip to main content

Rais azindua miradi ya maendeleo kaunti ya Nakuru

  • | Citizen TV
    2,145 views
    Duration: 3:32
    Rais william Ruto ameanza ziara ya siku tatu katika kaunti ya Nakuru. Rais anatarajiwa kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo akianza na hifadhi ya msitu wa Mau eneo la Gararage.