Skip to main content
Skip to main content

Mabadiliko ya tabianchi yaathiri kilimo cha mpunga Pwani

  • | Citizen TV
    205 views
    Duration: 3:29
    Mabadiliko ya tabianchi yametajwa kuwa changamoto kubwa katika uzalishaji wa mpunga eneo la pwani hasa kaunti za Taita Taveta,Kwale na Kilifi licha ya kaunti hizo kuwa na mazingira bora ya ukuzaji wa mpunga. Kulingana na utafiti uliofanywa na shirika la KARLO taifa la Kenya limekuza mpunga kwa asilimia 23 ikiwa sawa na tani milioni moja ya mchele uliozalishwa mwaka jana