Skip to main content
Skip to main content

Caleb atafanya mtihani wa KJSEA katika hali ngumu kutokana na ulemavu

  • | Citizen TV
    276 views
    Duration: 3:01
    Miongoni mwa wanafunzi wanaofanya mtihani wa kwanza wa gredi ya tisa wa KJ-SEA ni Caleb Spencer ambaye licha ya changamoto ya kupooza, anajiunga na mamilioni ya wanafunzi wanaoanza mitihani yao hapo kesho. Caleb Spencer anasema yuko tayari licha ya kupooza miguu yake alipopata ajali kwa kuanguka kutoka mtini wiki chache zilizopita.