- 347 views
Maafisa 144 wa polisi wamewasili haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu na kurejesha amani. Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen aliwaaga maafisa hao ambao ni kundi la tatu kuondoka nchini baada ya vikosi viwili kutangulia haiti mwaka jana na mapema mwaka huu. Hii inawadia huku rais william ruto akijitokeza na kusema kwamba taifa la marekani litaendelea kuunga mkono juhudi za kuleta uthabiti haiti baada ya taifa hilo kutangaza kusitisha ufadhili wa kigeni.
Maafisa 144 wa polisi wamewasili Haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) is on high alert to avoid publishing false or inconsistent reports of incidences, particularly those concerning persons held in custody for various reasons.
- 3 Jul 2025 - Kariuki was confirmed dead on June 30 after weeks in intensive care.
- 3 Jul 2025 - The youth sort to stop opposition politicians from accessing the region.
- 3 Jul 2025 - The changes will come into effect next month.
- 3 Jul 2025 - The Kenya Medical Supplies Authority (KEMSA) has launched a two-week annual stocktaking exercise to strengthen the national health supply chain.
- 3 Jul 2025 - Kenyans have shared mixed reactions to the revelation of now resurfaced blogger Ndiang'ui Kinyagia after his lawyer shared that the IT expert, who disappeared on June 20, had been in hiding all along - and not in the custody of security agents as had…
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Nairobi Women Representative Esther Passaris’ proposal to cordon protests to designated zones has been opposed by a slew of parliamentarians and politicians who cite the violation of constitutional rights.