- 4,836 viewsKikao kinachowakutanisha pamoja wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kimefanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huo umejadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amehudhuria kikao hicho, huku Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, alishiriki kwa njia ya mtandao. Kikao hicho kinaongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Kenya, William Ruto. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pia alikuwepo katika kikao hicho cha dharura kujadili hali ya mashariki mwa DRC. Viongozi wengine waiohudhuria mkutano huo ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani Picha zote na Idara ya Habari: MAELEZO #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje #marais
Viongozi wa SADC na EAC wajadili usalama katika eneo la DRC
- - Elimu bila mipaka ››
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
- 11 Aug 2025 - The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
- 11 Aug 2025 - The nutrition survey indicates at least six million Kenyans are unable to afford essential food and non-food expenditures.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - The clip of the assault went viral over the weekend.
- 11 Aug 2025 - "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.