Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa 6 raia wa Iran wafikishwa katika mahakama ya shanzu kwa ulanguzi wa dawa za kulevya

  • | Citizen TV
    3,845 views
    Duration: 1:13
    Kesi inayowahusisha washukiwa sita raia wa iran kuhusu ulanguzi wa dawa za kulevya, imeahirishwa hadi kesho baada ya upande wa mashtaka kutilia shaka mkalimani kuhusu stakabadhi zake na ufahamu wa lugha ya baluchi wanayozungumza washukiwa hao.