- 663 views
Shule ya wavulana ya Nakuru Boys imefungwa kwa majuma mawili baada ya wanafunzi kuandamana na kuzua vurumai usiku wa kuamkia leo Inaarifiwa kuwa wanafunzi watatu walijeruhiwa kwenye vurumai hilo huku mali kadhaa ya shule ikiharibiwa. Mgomo huu ulianza dakika chache kabla ya saa tatu usiku, ambapo wanafunzi wamekuwa wakilalamikia usimamizi wa mambo kadhaa shuleni ikiwemo kutolewa kwa chai na hata kuhamishwa kwa mwalimu mkuu. Polisi walilazimika kuingilia kati kutuliza hali baada ya maandamano haya yaliyochukua zaidi ya saa nne
Shule ya wavulana ya Nakuru High yafungwa kufuatia rabsha za wanafunzi
- 13 Jul 2025 - Talks aimed at securing a ceasefire in Gaza are stalling over the extent of Israeli forces' withdrawal from the Palestinian enclave, Palestinian and Israeli sources familiar with the negotiations in Doha said on Saturday.
- 13 Jul 2025 - The U.N. and the Dutch foreign ministry said on Friday they had cancelled an LGBTQ-themed event in Senegal after the West African nation warned of repercussions for organisers and voiced opposition to all "promotion of the LGBTQI phenomenon".
- 13 Jul 2025 - ODM party leader Raila Odinga has defended his proposal for the formation of a national conclave to chart a new path through collective civic engagement.
- 13 Jul 2025 - Interior Principal Secretary Raymond Omollo on Saturday, July 12, 2025, came to defend his boss, President William Ruto, after his shoot-to-maim order sparked public outcry. In a video shared on his official X page, PS Raymond Omollo insisted that Ruto…
- 13 Jul 2025 - The President is beating drums of war against his own people
- 13 Jul 2025 - Ex-spy master Boinnet lifts lid on intelligence reform battles
- 13 Jul 2025 - While Ruto stutters, unemployment threatens to fuel a youth revolution
- 13 Jul 2025 - President Ruto's loyal attack dog barks loud but he can't bite you!
- 13 Jul 2025 - Why July 7 protests were a nightmare
- 13 Jul 2025 - Abandoned but not alone: Babies with disabilites find hope at KNH