- 208 views
Serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia imetoa onyo kwa mashirika yanayotoa mikopo ya bodaboda kutotumia vibaya leseni za kutoa huduma na kuwalaghai waendeshaji bodaboda kaunti hiyo. Akizungumza katika hafla ya kutoa fursa kwa wahudumu wa bodaboda kupata mikopo ya pikipiki mpya, waziri wa biashara wa kaunti ya Trans Nzoia, Patrick Gacheru, amesema hawatasita kuwachukulia hatua mashirika yatakayokuwa yanawanyanyasa waendeshaji bodaboda. Haya yanajiri huku takwimu kutoka Idara ya Biashara zikionyesha kuwa sekta ya bodaboda imeajiri zaidi ya watu 80,000, na inachangia pakubwa nafasi za ajira miongoni mwa vijana
Serikali ya Trans Nzoia yaonya mashirika ya mikopo dhidi ya kuwanyanyasa waendeshaji bodaboda
- 13 Jul 2025 - Talks aimed at securing a ceasefire in Gaza are stalling over the extent of Israeli forces' withdrawal from the Palestinian enclave, Palestinian and Israeli sources familiar with the negotiations in Doha said on Saturday.
- 13 Jul 2025 - The U.N. and the Dutch foreign ministry said on Friday they had cancelled an LGBTQ-themed event in Senegal after the West African nation warned of repercussions for organisers and voiced opposition to all "promotion of the LGBTQI phenomenon".
- 13 Jul 2025 - ODM party leader Raila Odinga has defended his proposal for the formation of a national conclave to chart a new path through collective civic engagement.
- 13 Jul 2025 - Interior Principal Secretary Raymond Omollo on Saturday, July 12, 2025, came to defend his boss, President William Ruto, after his shoot-to-maim order sparked public outcry. In a video shared on his official X page, PS Raymond Omollo insisted that Ruto…
- 13 Jul 2025 - President Ruto's loyal attack dog barks loud but he can't bite you!
- 13 Jul 2025 - Why July 7 protests were a nightmare
- 13 Jul 2025 - Abandoned but not alone: Babies with disabilites find hope at KNH
- 13 Jul 2025 - The President is beating drums of war against his own people
- 13 Jul 2025 - Ex-spy master Boinnet lifts lid on intelligence reform battles
- 13 Jul 2025 - While Ruto stutters, unemployment threatens to fuel a youth revolution