- 43 views
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametangaza kusitishwa kwa ufadhili wa kimasomo katika kaunti hiyo kutokana na agizo la mahakama lililofuatia rufaa iliyowasilishwa na vuguvugu la Katiba Institute. Achani anasema agizo hilo la mahakama lilijiri baada ya mdhibiti wa bajeti Margaret Nyakang'o kufafanua kwamba ufadhili wa masomo sio sehemu ya majukumu yaliyogatuliwa kuambatana na ibara ya nne ya katiba ya Kenya. Akiongea katika makao makuu ya kaunti ya Kwale huko Matuga Achani alisema mpango huo chini ya mradi wa Elimu ni Sasa ambao ulizinduliwa mwaka 2013, umekuwa nguzo kuu ya kuleta mabadiliko katika maisha ya wanafunzi wengi kutoka familia zisizoweza kujimudu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Msaada wa kimasomo wasitishwa Kwale
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 9 May 2025 - Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
- 9 May 2025 - Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
- 9 May 2025 - Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
- 9 May 2025 - The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
- 9 May 2025 - AG Dorcas Oduor wants petition filed by Busia senator Okiya Omtatah and eight others struck out.
- 9 May 2025 - Police service under scrutiny after the brazen escape of six suspects.
- 9 May 2025 - Fresh petition filed before the High Court in Nakuru seeking Governor Kihika's removal.
- 9 May 2025 - Kenyan government refuses to wire Sh1.6 billion owed to the Vaccine Alliance ahead of 30th June deadline.
- 9 May 2025 - Tension mounts over grazing land after ADC evicts herders
- 9 May 2025 - Police utilise forensic tools to nab suspects in MP Were's murder