- 43 views
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametangaza kusitishwa kwa ufadhili wa kimasomo katika kaunti hiyo kutokana na agizo la mahakama lililofuatia rufaa iliyowasilishwa na vuguvugu la Katiba Institute. Achani anasema agizo hilo la mahakama lilijiri baada ya mdhibiti wa bajeti Margaret Nyakang'o kufafanua kwamba ufadhili wa masomo sio sehemu ya majukumu yaliyogatuliwa kuambatana na ibara ya nne ya katiba ya Kenya. Akiongea katika makao makuu ya kaunti ya Kwale huko Matuga Achani alisema mpango huo chini ya mradi wa Elimu ni Sasa ambao ulizinduliwa mwaka 2013, umekuwa nguzo kuu ya kuleta mabadiliko katika maisha ya wanafunzi wengi kutoka familia zisizoweza kujimudu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Msaada wa kimasomo wasitishwa Kwale
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary