- 40 viewsViongozi wakuu wa dunia wanakutana kujadili masuala ya AI mjini Paris ambako mazungumzo ya kidiplomasia yenye changamoto yanatarajiwa wakati ambapo makundi ya teknolojia yanapigania utawala katika sekta ya teknolojia inayosonga kwa kasi. Wakuu wa nchi, viongozi wa juu wa serikali, wakurugenzi wakuu na wanasayansi kutoka nchi 100 wanashiriki katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili unaoanza leo Jumatatu. Wahudhuriaji wakuu ni pamoja na Makamu Rais wa Marekani JD Vance, katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aingie madarakani, na Makamu wa Waziri Mkuu wa China, Zhang Guoqing. Tunaishi katika mapinduzi ya teknolojia na kisayansi ambayo hatujawahi kuyaona, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumapili katika televisheni ya taifa ya Ufaransa. Ufaransa na Ulaya lazima zichukue fursa kwa sababu AI itatuwezesha kuishi vizuri, kujifunza vizuri, kufanya kazi vizuri, kujihudumia vizuri, na ni juu yetu kuiweka akili mnemba katika utoaji huduma ya binadamu, alisema. #akilimnemba #ai #ufaransa #mkutano #teknolojia #makamurais #marekani #jdvance #voa #voaswahili
Mkutano wa AI wa kimataifa wafanyika Ufaransa
- - Elimu bila mipaka ››
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
- 11 Aug 2025 - The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
- 11 Aug 2025 - The nutrition survey indicates at least six million Kenyans are unable to afford essential food and non-food expenditures.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - The clip of the assault went viral over the weekend.
- 11 Aug 2025 - "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.