- 36 views
Jaji wa mahakama ya upeo Njoki Ndung'u ameeleza kufadhaishwa na idadi kubwa ya ndoa ambazo hazijasajiliwa humu nchini. Kwenye hotuba katika chuo kikuu cha kilimo na teknolojia cha Jomo Kenyatta, jaji Ndung'u alisema wanandoa wengi hawana ufahamu wa hitaji la kisheria la kusajili ndoa zao katika kipindi cha miezi sita. Hali kadhalika alisisitiza haja ya dharura ya sajili ya kisasa ya ndoa ambayo imesalia kwenye madaftari, ikiliganishwa na mifumo ya dijitali ya usajili wa watoto na vifo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kwa nini wakenya wengi wanaishi kwenye ndoa zisizo halali?
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary