Familia zapokea mabaki ya miili ya walinda amani 14 waliouwawa DRC
Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
17 Jun 2025
- Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
16 Jun 2025
- Police Constable James Mukhwana, currently in custody over the brutal killing of blogger and teacher Albert Ojwang’, has broken his silence, revealing chilling details about what transpired on the night of June 7, 2025, while Ojwang’ was held at the…
16 Jun 2025
- The technician, who was reportedly paid Ksh.3,000 to disable the surveillance system, was remanded in Kilimani Police Station with a second suspect. Their detention follows an application by IPOA through its Assistant Director of Forensics, Paul Njihia.
16 Jun 2025
- Own Source revenue collection for July 2024 to March 2025
16 Jun 2025
- This is after DIG Eliud Lagat stepped aside from his position on Monday
16 Jun 2025
- Israel said it attacked the sites and killed nine nuclear scientists
16 Jun 2025
- On Monday, Lagat stepped aside pending investigations into the death of Albert Ojwang
16 Jun 2025
- The High Court in Isiolo issued an order stopping the impeachment of Governor Abdi Guyo pending hearing and determination of the case before it.
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.