Familia zapokea mabaki ya miili ya walinda amani 14 waliouwawa DRC
Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
30 Apr 2025
- Kenya has been facing increased cases of suicide.
30 Apr 2025
- He joins the long list of Raila's allies that have benefitted in the broad-based govt.
1 May 2025
- Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
1 May 2025
- Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
1 May 2025
- US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
1 May 2025
- The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
1 May 2025
- VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
1 May 2025
- Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
1 May 2025
- Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs
1 May 2025
- Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender
1 May 2025
- Cost of living: How salaries have changed since last Labour Day
1 May 2025
- Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans