- 119 views
Ajenda ya serikali ya kuweka huduma zake kwenye mfumo wa kidijitali inakabiliwa na upungufu wa ufadhili huku waziri wa habari na teknolojia ya mawasiliano William Kabogo, akionya kwamba kupunguzwa kwa fedha kwenye bajeti, kutachelewesha miradi muhimu. Kabogo aliyekuwa mbele ya kamati ya bunge kuhusu teknolojia ya habari na mawasiliano, alitoa wito kwa wabunge kutenga shilingi bilioni 5.4 zaidi ili kuendeleza sekta ya utangazaji na mawasiliano ya simu, huku wasiwasi ukiongezeka kuhusiana na miradi iliyokwama na mashirika ya serikali yanayokabiliwa na changamoto za kifedha.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Kabogo ataka bunge kutengea mfumo wa kidijitali fedha zaidi
- 20 Aug 2025 - Two people died on Wednesday while three others sustained serious injuries in a tragic road accident near Ting’ Wang’i junction along the Siaya-Bondo road in Siaya County.
- 20 Aug 2025 - Mobility platform Bolt has launched a first-of-its-kind dash cam in Kenya in collaboration with AI-based mobility tech firm Driver Technologies, giving drivers access to advanced safety technology at 75% off premium.
- 20 Aug 2025 - Teresia Chepkemoi Chepkwony, a revenue collector, technician, and marketing assistant with the water company, was charged with forging a KCSE certificate bearing a C plus mean grade from Boron Secondary School on or about September 18, 2017, and…
- 20 Aug 2025 - The government has announced a plan to establish a comprehensive national traffic accident database in response to a
- 20 Aug 2025 - Those who had come to court for hearings were left stranded.
- 20 Aug 2025 - There are concerns that brokers are infiltrating local courts.
- 20 Aug 2025 - There have been several fatal accidents over the past weeks.
- 20 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the temporary orders following a case filed by Dr. Magare Gikenyi, together with Eliud Karanja Matindi, Philemon Abuga Nyakundi, and Dishon Keroti Mogire.
- 20 Aug 2025 - The TikToker was arrested on August 5.
- 20 Aug 2025 - The ban takes effect on June 16, 2025.