- 211 views
Serikali imetangaza kuwa ina mipango ya kununua ngano kutoka kwa wakulima kupitia halmashauri ya nafaka na mazao NCPB.. Katika mkutano wa wadau wa kilimo, waziri Mutahi Kagwe amesema serikali itanunua magunia elfu 321 za ngano kutoka kwa wakulima wanaotatizika kwa kukosa soko..Wakulima hao wakitakiwa kuwasilisha mazao yao kwa maghala ya NCPB kuanzia kesho jumanne..Kulingana na waziri wakulima watalipwa katika muda wa siku 30 baada ya kuwasilisha ngano kwa NCPB. Mbali na hayo NCPB itatia saini mkataba wa maelewano na wasagaji nafaka ili kuhakikisha ngano inachukuliwa na malipo kutolewa katika muda wa wiki tatu
Serikali kununua ngano
- - Duniani Leo ››
- - 'Maajabu ya ngazi' ››
- 23 Aug 2025 - Gaza City and surrounding areas are officially suffering from famine, and it will likely spread, a global hunger monitor determined on Friday, an assessment that will escalate pressure on Israel to allow more aid into the Palestinian territory.
- 23 Aug 2025 - FBI agents searched the home of John Bolton, a former adviser to U.S. President Donald Trump turned persistent critic, on Friday in what a source familiar with the matter said was part of a national security probe.
- 23 Aug 2025 - Ministry of Roads and Transport released the findings on Friday.
- 23 Aug 2025 - Kenya seals Sh22 billion deals at Tokyo conference on Africa
- 23 Aug 2025 - Hospitals face closure over Sh76b State debts
- 23 Aug 2025 - Why the media needs more friends like Raila
- 23 Aug 2025 - State violence victims deserve more than just a few millions
- 23 Aug 2025 - Political reality allows Kenya to use several paths to growth
- 23 Aug 2025 - According to insiders, the talks could culminate in either a coalition party or a merger.
- 23 Aug 2025 - Further questions emerged on Thursday following Kalonzo’s absence alongside other opposition leaders