- 48 views
Aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bajeti na mgao wa fedha katika bunge la kitaifa Ndindi Nyoro, amesema hana majuto kuhusu kuondolewa kwake katoka wadhifa huo wiki iliyopita. Huku akitoa shukrani kwa kupewa fursa ya kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo muhimu, mbunge huyo wa Kiharu hata hivyo alisema hakuna mtu kutoka muungano tawala aliyewahi kumuuliza swali kuhusu masuala ya kamati aliyoongoza. Nafasi yake ilichukuliwa na mbunge wa ODM kutoka eneo bunge la Alego Usonga Samuel Atandi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Nyoro asema hajutii kuondolewa kwake kutoka uenyekiti wa kamati ya bajeti
- - Matili TVET saga ››
- 9 May 2025 - A middle-aged man has been handed a life sentence after being convicted of defiling a two-year-old child in Kisumu.
- 9 May 2025 - Kenya’s exports continue to depend heavily on the East African Community (EAC) as a key market, according to the 2025 Kenya Economic Survey.
- 9 May 2025 - The High Court has declined to refer cases of abductions and enforced disappearances in Kenya to the International Criminal Court (ICC), ruling that national institutions are still capable of handling such matters.
- 9 May 2025 - Thursday, May 8, 2025, marked the election of the worldwide Pontiff of the Roman Catholic Church. Cardinal Robert Francis Prevost, the 267th Pontiff, was elected Pope and Archbishop of Rome and from now henceforth will be known as Pope Leo XIV.
- 9 May 2025 - Students and activists in Bungoma County have expressed anger following the court ruling on Thursday, which declined to stop the auction of properties belonging to Matili Technical Training Institute by a private developer.
- 9 May 2025 - Public Service, Human Capital Development and Special Programmes Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has outlined a raft of measures aimed at addressing systemic procurement irregularities within the National Youth Service (NYS).
- 9 May 2025 - Pope Leo XIV warns of the dangers caused by a lack of faith.
- 9 May 2025 - Higher Education PS says the Ministry was not consulted.
- 9 May 2025 - "I know they killed my father to scare us, but we are strong and will remain steadfast in ODM."
- 9 May 2025 - "Baba, (Raila) ukituma kijana wa Were Bunge, mimi mwenyewe Muthoni nitamuonesha."