Lalit Patidar amevunja rekodi ya dunia ya kuwa na sura yenye nywele nyingi zaidi.
Zaidi ya 95% ya uso wa kijana huyu wa kihindi mwenye umri wa miaka 18 umejaa nywele. Ana hali ya nadra sana inayoitwa hypertrichosis, pia inajulikana kama 'werewolf syndrome', ambayo husababisha ukuaji wa nywele nyingi.
Kumekuwa na karibu kesi 50 zilizorekodiwa katika historia ya binadamu.
📹 Guinness World Records
#bbcswahili #indian #rekodi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 May 2025
- Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
1 May 2025
- Swedish police detained a 16-year-old early on Wednesday on suspicion of murdering three people in a hair salon in the city of Uppsala, prosecutors said.
1 May 2025
- Raila’s key allies have ramped up criticism of the administration, while calls within ODM to field a presidential candidate in 2027 grow louder.